Posts

Showing posts from November 20, 2020

my eyes:

                                            Kazi ya macho:   S iku moja katika kutafakari nikajiuliza kwanini mungu ameumba viumbe mabalimbali vinapendeza na kuvutia vimeijaza nchi vikishangilia ukuu na utukufu wa mungu ,vikiruka ruka kwa furahaaa nikakundua kuwa mungu ni watofauti sana kuliko viumbe vingine vyote duniani na mbinguni.mungu alivyo waajabu akawapa viumbe hivyo viungo tofauti tofauti kwaajili ya kuwasaidia viumbe ivyo kuish na kumudu mazingira vizuri kwa mfano mungu aamevipa viumbe vyote uwezo wakusikia sauti mbalimabali kutoka kwenye mazingira aliyoko kiumbe icho.wanasanyasi wanasema kila kiumbe kilicho duniani kina uwezo wakuwasiliana na mwenzie kupita lugha. “language of the world”. pia nivugumu mno kwakiumbe kingine kuweza kusikia lugha ya kiumbe kingine na hii ina tokana na kitu kinachoitwa “the soul of the world”. ichindo kitu ambacho ukiwa nacho unaweza kujua “the language of the world” yani kujua lugha ya viumbe mbalimbali kwenye uso wa duni

jab we met:

Image
Jab we met: The day when we met, our soul comes together, It like magnetic pull us together, What kind of force tight us together? Am prisoner to you!   Not because of you are beauties, It is Just the way you are, I can’t say am blind, not! Am you are prisoner.   I can’t say, I don’t see defect on you, But I consider them beauty, It like I pick up mango in a coconuts tree, Am you are prisoner.                     By                         chami        

you fail

Image
  You fail: We just wait until sun rise, But steal not yet, You shut up our words You fail, you fail.   You promise us cake, We didn’t see even fake You sent us in darkness, Instead of bring brightness. Where is you are promises?   My mediocre not to be healed,  My silence is not foolproof, Grown I don't see what you do, I see, I see and hear also .                                                                                                       By                                                   cyril